Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Durrant awapagawisha Brooklyn Nets.

Monday , 19th Apr , 2021

Mcheza kikapu nyota wa timu ya Brooklyn Nets, Kevin Durrant amepata maumivu ya misuli jambo linalowapagawisha Nets kwani nyota wake Kyrie Iriving anahaha kurejea kwenye utimamu wake ilahli James Harden ana majeraha pia.

Nyota wa Brooklyn Nets, Kevin Durrant.

Durrant alipata maumivu hayo Jumapili ya jana Aprili 18, 2021 akiwa dimbani kucheza dhidi ya Makamu bingwa wa NBA, Miami Heat na Nets kupoteza mchezo huo kwa alama 109-107.

Kocha wa Nets, Steve Nash amesema, “Tutaona ataendeleaje baada ya kuamka, ila kwasasa hakuna kilichobainika juu ya maumivu yake. Tunategemea leo watamchunguza na kuangalia hali ya maumivu yake”.

Hii si mara ya kwanza kwa Durrant kupata maumivu hayo, kwani tayari ameshakosa michezo 33, 24 ni kutokana na maumivu ya misuli huku 6 ni kutokana na utaratibu za kiafya za kujikinga na Covid-19 na michezo mitatu mingine ni kutokana na majerah amengine ya kawaida.

Nae kocha wa Nets amejigamba kuwa wana wachezaji wengi vijana wa kuchukua nafasi hizo kuelekea michezo inayofuata.

NBA inatazamiwa kuendelea tena usiku wa kuamkia kesho kwa michezo 9, Philadelphia 76ers watakipiga na Golden State Warriors saa 8:30 usiku wa kuamkia kesho, Miami Heat na Houston Rockest saa 9:00 usiku ilhali LA Lakers watachuana na vinara wa upande wa mashariki Utaj Jazz saa 11:00 alfajiri.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava