Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prof Jay ampa maelekezo mazito Mwana Fa Bungeni

Tuesday , 20th Apr , 2021

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi mwaka 2015-2020 na msanii Prof Jay amesema anajua Mbunge wa Jimbo la Muheza, Tanga Mwana Fa ana akili nyingi na ameingia kwenye nafasi ya maamuzi hivyo aendeelee kuimbuka sanaa.

Kushoto ni Mwana Fa kulia Prof Jay

Prof Jay ameendelea kusema Mwana Fa ana uandishi mzuri sana kwenye nyimbo zake hivyo amemuomba asiache kufanya hivyo japo anajua ana majukumu mazito ya kutumikia wananchi wa Muheza.

"Najua Mwana Fa ana akili nyingi, ana talent na ni mmoja kati ya wasanii bora wa HipHop wanaoandika vizuri hata yeye pia ana anasema mimi ni msanii wake bora wa HipHop tena wa muda wote

"Kitu kikuba ambacho namwambia ni kwamba ameingia kwenye nafasi ya maamuzi ila aendelee kukumbuka huku najua ana majukumu makubwa ya kule Muheza, asiache kufanya hiki kitu ambacho alikuwa anakifanya siku zote najua ana majukumu magumu ila aendelee kufanya" ameongeza Prof Jay

Prof Jay, Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr II Sugu na Mwana Fa ni baadhi ya wasanii wa HipHop hapa nchini Tanzania ambao wameweza kuingia kwenye siasa na kutumikia wananchi.

Zaidi tazama hapa kwenye video.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali