Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wazabuni wa Dawa watakiwa kuwa wazalendo

Wednesday , 21st Apr , 2021

Wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya biashara ya dawa kwa kuweka mbele suala la uzalendo na ubora ili Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) iendelee kuimarisha uhusiano wa manunuzi uliopo baina yao.

Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya, Prof. Abel Makubi wakati akizungumza na wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini.

Hayo yameelezwa Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya, Prof. Abel Makubi wakati akizungumza na wazabuni hao ambao wanauza na wanasambaza bidhaa hizo kwenda MSD.

Prof. Makubi amesema kuwa moja ya vipaumbele vya Serikali ni kuhakikisha upatikanaji wa dawa za kutosha na zenye viwango zinazopelekwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ili wananchi wapate huduma bora za afya wakati wote na popote.

Serikali imejipanga vizuri kuhakikisha upatikanaji wa dawa, vifaa na vitendanishi vya maabara kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini zinaimarika,hivyo mnatakiwa kuweka mbele uzalendo , uaminifu , uhalisia wa bei na mzalishe bidhaa zenye ubora ili kukidhi matakwa ya serikali na kupunguza gharama za matibabu Kwa wananchi na hata kwa mifuko yetu ya Bima", amesisitiza Prof. Makubi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa MSD Meja Jenerali Dkt. Gabriel Saul Mhidze amewashukuru wazabuni kuendelea kuiamini MSD na kuipa huduma pamoja na ushauri ambao wamekuwa wakimpatia ili kuboresha huduma ya upatikanaji wa dawa nchini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava