Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA yaanza kutoa Elimu mlango kwa mlango

Tuesday , 27th Apr , 2021

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kwamba katika kutekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha kutokuwa kero kwa walipa kodi ili kuongeza mapato imeanza kutoa Elimu ya mlipa kodi mlango kwa mlango lengo ni kuwa karibu na walipa kodi-

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo.

ili kutatua changamoto zinazojitokeza.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo wakati akizungumza na EATV ambapo amesema kuwa kwa sasa wanahakikisha wanaondoa changamoto na kero zilizokuwa zikiwakuta walipa kodi nchini kama ambavyo aliagiza Rais katika maagizo yake kwa Mamlaka hiyo.

"Tunatoa Elimu kwa mlipa kodi mlango kwa mlango na tumeanza katika mikoa ya kikodi Temeke, Ilala na Kilimanjaro lengo likiwa ni kuwa karibu na walipa kodi ili watueleze changamoto wanazokutana nazo", amesema Kayombo.

Aidha ameitaja mikoa ambayo tayari imeanza zoezi la mlango kwa mlango kuwa ni mikoa ya kikodi Temeke, Ilala, na Kilimanjaro ambapo lengo ni kuwaweka karibu zaidi walipa kodi.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya