Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanga: Askari asafirisha wahamiaji haramu

Wednesday , 12th May , 2021

Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga linawashikilia raia 7 wa Bangladesh pamoja na Askari Koplo Rashid Mussa wa kikosi cha 835 KJ Kabuku, wakiwa wanatokea Kabuku Handeni kuelekea mkoani Morogoro, ambapo askari huyo ndiye alikuwa dereva wa gari lililokuwa likitumika kuwasafirishia wahamiaji hao. 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Blasius Chatanda

Akizungumza hii leo Mei 12, 2021, Kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Blasius Chatanda,  amesema kuwa tukio hilo limetokea Mei 9 mwaka huu ambapo Askari huyo alikuwa akiwasafirisha watu hao kwa kutumia gari aina ya Noah Alphard lenye nambari za usajili T886 DVX.

Aidha Kamanda Chatanda amesema kuwa bado wanaendelea kufuatilia ili kujiridhisha kwa kuwa hawakuzoea kuwaona wahamiaji haramu wakitokea Bangladesh kupita kwenda Kusini hali iliyowapa wasiwasi kuwa pengine watu hao wanakwenda kujiunga na vikundi vinavyotekeleza uhalifu Kaskazini mwa Msumbiji. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava