Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akina Baba wadaiwa kuwaambukiza Ukimwi mabinti

Wednesday , 12th May , 2021

Mbunge wa Viti Maalum Fatma Toufiq, amedai kuwa akina Baba siku hizi hawawafuati tena wanawake watu wazima ili kuanzisha nao mahusiano badala yake wamekuwa wakiwambilia watoto wadogo hali inayopelekea kuwaambukiza Ukimwi na kupelekea maambukizi mapya kwa watoto wa kike kuwa makubwa.

Mbunge wa Viti Maalum, Fatma Toufiq

Kauli hiyo ameito hii leo Mei 12, 2021, Bungeni Dodoma, wakati akichangia hoja ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa hii leo na Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Dorothy Gwajima.

"Kundi kubwa ambalo linaonesha lipo kwenye hatari kubwa ya kuambukizwa Ukimwi ni watoto wenye umri wa miaka 14-24, na katika wale vijana 10 wanaoopimwa watoto wa kike 8 ndiyo wanaombukizwa sana, nilikuwa nashauri akina Baba ebu muwaonee huruma hawa watoto, sababu mmeacha kuwafuata akina mama watu wazima mnawafuata hawa watoto", amesema Mbunge Fatma

Aidha ameongeza kuwa "Hebu waacheni hawa watoto wasome watimize malengo yao, haya mambukizi mapya hawa watoto wanayapata kwa akina Baba ambao hawajapima". 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava