Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajifungua watoto 10 kwa siku moja

Wednesday , 9th Jun , 2021

Mama Gosiame Thamara Sithole mwenye miaka 37 kutoka nchini South Africa ameweka rekodi ya kipekee kwa kujifungua watoto kumi kwa siku moja katika Hospitali iliyopo Jijini Pretoria.

Picha ya Mama aliyejifungua watoto 10 kwa siku moja

Mama huyo amejifungua watoto saba wa kiume na watoto watatu wa kike ambapo alikuwa ana ujauzito wa miezi saba na siku saba, pia kipindi cha nyuma aliwahi kupata mapacha ambao kwa sasa wana miaka 6, hivyo kwa sasa ana jumla ya watoto 12.

Akizungumza baada ya kujifungua watoto hao Mama huyo amesema "Nimeshtushwa na ujauzito wangu ilikuwa ngumu mwanzoni nilikuwa mgonjwa na ilikuwa ngumu kwangu"

"Sioni maumivu tena, ninaomba Mungu anisaidie kujifungua watoto wangu wote katika hali nzuri pia mimi na watoto wangu tutoke hai, napenda kuwa radhi juu yake"

Kwa upande wa mume wake aliyefahamika kwa jina la Mr Tsotetsi amesema ana furaha sana, yupo na hisia hivyo hawezi kuzungumza sana kuhusu suala hilo.

Chanzo : Standard.co.uk , Instablo9ja, Timesnownews, Africa News.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali