Picha kushoto Jay Melody, Wini (katikati) na Marioo (kulia)
Hali hiyo unaweza kusema kama imewapa hasira wasanii independent (wasio na lebo) ambao wapo wengi na wamelishika soko haswaa licha ya kuwa hawana backups zenye nguvu na uwezo wa kifedha.
Idadi kubwa ya wadau wa muziki wameonesha mabadiliko na ku-focus kwa wasanii wanaofanya kazi nzuri bila kujali kelele (kiki) au yupo katika hali gani na anatokea wapi.
Miongoni mwao ni;
1.Jay Melody
2.Marioo
3.Wini
4.Mabantu (kundi)



