Winga machachari wa Simba, Luis Miquissone akijaribu kupenya mbele ya washambuliaji wa Yanga Tuisila Kisinda na Farid Musa katika moja ya mchezo wa VPL waliokutana hivi karibuni.
CHUKUA TAKWIMU HIZI
Septemba 20,2015
Simba 0-2 Yanga
.
Februari 20,2016
Yanga 2-0 Simba
.
Oktoba Mosi, 2016
Yanga 1-1 Simba
.
Februari 25, 2017
Simba 2-1 Yanga
.
Oktoba 28,2017
Yanga 1-1 Simba
.
April 29,2018
Simba 1-0 Yanga
.
Septemba 30,2018
Simba 0-0 Yanga
.
Februari 16, 2019
Yanga 0-1 Simba
.
Januari 4,2020
Simba 2-2 Yanga
.
Marchi 8,2020
Yanga 1-0 Simba
Je leo yupi ataongeza idadi ya mechi za ushindi katika VPL baina ya wababe hawa wawili wa soka nchini?





