Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CEO Kasongo agusia waamuzi kuelekea Septemba 25

Tuesday , 21st Sep , 2021

Afisa Mtendaji Mkuu wa bodi ya ligi kuu ya Tanzania bara, Almas Kasongo amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wa Ngao ya jamii kati ya Simba na Yanga, yanaendelea vizuri huku TPLB, ikiendelea kushirikiana na wadau wa kandanda nchini ili kuondoa dosari zinazojitokezaga.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo akiongea kuhusu waamuzi mbele ya Wanahabari.

Kasongo amesema kuwa changamoto mbali mbali ikiwemo za tiketi, wameendelea kuzishughulikia pamoja na zile zilizojitokeza kipindi cha matamasha ya Wiki ya Mwananchi na lile la Simba Day, na iwapo zitajitokeza tena siku ya septemba 25, ziwe mpya na sio za zamani.

Bodi ya ligi imendelea kutoa semina nyingi za kujengeana uwezo kwa wadau wote wa michezo, ikiwemo kwa wanahabari, maafisa habari wa vilabu pamoja na mameneja.

Pia Kuelekea katika mtanange wa Ngao ya jamii, bodi ya ligi imeelekeza nguvu zaidi kwa waamuzi wa mchezo huo, ilikuondokana na makosa na lawama za mashabiki kutokana na udhaifu wa kutafsiri sheria 17 za kabumbu. 

Simba na Yanga zitachuana siku ya Jumamosi kuashiria ufunguzi wa ligi kuu Tanzania bara kwa msimu wa mwaka 2021/2022.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava