Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gari inayopaa yakamilisha majaribio

Wednesday , 22nd Sep , 2021

Teknolojia inaenda kasi sana kwasasa, na makampuni mbalimbali haijawaacha nyuma baada ya kampuni  ya Klein Vision ikishirikiana na Hyundai na BMW zimeunda gari “AirCar OM-KLZ" inayopaa angani.

Picha ya Gari (AirCar OM-KLZ) ikiwa angani

 Gari hiyo imefanikiwa katika majaribio siku za hivi karibuni kwa kupaa kwa dakika 35 na kutua salama uwanja wa ndege wa Nitra na Bratislava nchini Slovakia huku ikiwa na uwezo wa kupaa kwa Kilomita 1,000 kwa speed ya 170km/h bila kutua, kwa urefu wa futi 8,2000 kutoka usawa wa bahari. 


Inaweza kufungua mabawa, kurefusha mkia na kubadilika kuwa kama ndege kwa sekunde 15,imetumika injini ya BMW yenye nguvu ya 160HP na kuunganishwa na propeller nyuma ya gari na linatumia mafuta na mfumo wa petrol kama gari za kawaida huku ikiwa na uwezo wa kubeba watu wawili na uzito usiozidi kilo 200. 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya