Mjane aliyechomewa nyumba yake
Tukio hilo limetokea majira ya saa 8:00 usiku, ambapo wapangaji wameiomba serikali iwasaidie kupata haki zao za mali zao ambazo zimeteketea zote na moto lakini pia isimamie sheria ipasavyo ili kumnusuru mjane huyo.
Tazama video hapa chini