Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro,
IGP Sirro ametoa kauli hiyo hii leo Septemba 23, 2021, jijini Dodoma, wakati walipokutana na kufanya mazungumzo na Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Jaji Fransic Mutungi, kuhusu suala la mikutano ya ndani na nje ya vyama vya siasa.
Tazama video hapa