Picha ya Mkurugenzi wa Tehama Tanzania, Mulembwa Munaku
Akizungumza kupitia Supa Breakfast ya East Africa Radio, Munaku amesema wabunifu wa Tehama wameweza kubuni mifumo mbalimbali (Application za simu) ikiwemo ya Mahakama ambayo itamsaidia mwananchi kufuatilia mwenendo wa kesi akiwa sehemu yoyote.
Msikilize Zaidi hapa







