Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coastal Union yaiendea Mombasa Ruvu Shooting

Monday , 11th Oct , 2021

Timu ya Coastal Union ya Tanga kesho Jumanne ya Oktoba 12, 2021 itacheza mechi ya kirafiki mjini Mombasa nchini Kenya kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC  Tanzania dhidi ya Maafande wa Ruvu Shooting.

Wachezaji wa Coastal Union wakipiga jeramba.

Coastal Union itajipima nguvu na Bandari FC katika Uwanja wa Tononoka mjini Mombasa.

Akizungumzia mchezo huo wa kirafiki Afisa Habari wa Coastal Union, Jonathan Tito amesema ni sehemu ya kujiweka sawa kabla ya kurejea kwa mechi za Ligi Kuu ya NBC Tanzania.

"Kipindi hiki cha kupisha mechi za timu za taifa vijana wetu walipewa mapumziko ya siku tano, hivyo baada ya kurejea mazoezini tumeona tujiweke sawa dhidi ya majirani zetu Bandari FC kabla ya kuwavaa Ruvu Shooting," alisema Tito.

Coastal Union itaendelea na mzunguko wa tatu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting mchezo utakaopigwa Jumapili hii ya Oktoba 17, 2021 kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi.

Tito amesema mchezo huo dhidi ya Ruvu ni muhimu sana kwao kwa kuwa katika michezo yao miwili ya mwanzo wametoka sare yote wakiwa nyumbani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava