Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kwa rekodi hii, Messi ni gwiji Amerika kusini

Monday , 11th Oct , 2021

Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 80 kwa upande wa timu za taifa za bara la Amerika kusini na kumpiku gwiji wa Brazil, Pele mwenye(77).

(Lionel Messi akikabidhiwa picha zawadi ya heshima yenye picha yake na muwakilishi kutoka shirikisho la soka Argentina ikimuonesha akiwa amebeba kombe la Copa Amerika walilolitwaa mwaka huu na yeye akitoa mchango mkubwa pamoja na kuwa mchezaji bora wa mashindano)

Messi ameweka rekodi hiyo usiku wa kuamkia leo baada ya kufunga bao la kwanza kabla ya Rodrigo De Pol na Lautaro Martinez kufunga bao la pili na la tatu kwenye ushindi wa 3-0 wa Argentina dhidi ya Uruguay kufuzu WC 2022.

Baada ya kufunga bao hilo la kihistoria, Messi ameongelea mchezo huo namna ulivyokuwa kwa kusema,

“Tulicheza mchezo mzuri sana. Kila kitu kilienda kwa usahihi mkubwa. Uruguay wanakusubiria na wanatengeneza hatari. Pindi tulivyopaya goli la kwanza, tulianza kupata nafasi na magoli yakatoke” Alisema Messi.

Argentina ipo nafasi ya pili kwenye kundi la kuwania kufuzu barani Amerika Kusini ikiwa na alama 22 ilhali vinara Brazil ina alama 28 baada ya wawili hao kucheza michezo 10  wakati Ecuardo na Uruguay watatu na wanne wakiwa na alama 16

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava