Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rungu la CAF laishukia, TFF yapewa onyo

Tuesday , 12th Oct , 2021

Klabu ya Yanga imepigwa faini zaidi ya shilingi milioni 11 na Shirikisho la soka Afrika (CAF) kwa kuvunja baadhi ya sheria na taratibu za mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria Septemba 12, 2021.

Winga wa Yanga, Jesus Moloko akijaribu kumtoka mchezaji wa Rivers united.

Adhabu hiyo imetolewa na kamati ya nidhamu ya CAF kutokana na malalamiko ya Rivers United juu ya baadhi ya viongozi wao kughasiwa na maafisa wa usala,a wa Yanga na baadhi ya mashabiki kuingia uwanjani wakati mchezo huo ambao ulipaswa kuchezwa bila mashabiki.

Taarifa ya kamati hiyo imeeleza kuwa Yanga hawakutoa utetezi wowote juu ya malalamiko hayo na kamati hiyo imewapiga faini ya dolla za kimarekani 5,000 sawa na 11,525, 000 kutokana na matukio hayo.

Kamati hiyo imeenda mbali zaidi na kutoa onyo kali kwa TFF kuwa makini kwa michezo ya ngazi ya klabu na timu za taifa kutokana na timu nyingine za kigeni kulalamikia vipimo vya Uviko 19, kupitiliza kwa idadi ya mashabiki kuingia uwanjani na malalamiko kwenye vyumba kwa kubadilishia nguo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali