Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki rukhsa uwanjani michezo ya CAF Tanzania

Friday , 15th Oct , 2021

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika ‘CAF’ limeruhusu mashabiki kwenye michezo yake ya kombe la shirikisho Afrika na Ligi ya mabingwa barani humo kwa timu za Tanzania inayotaraji kuchezwa kuanzia Ijumaa ya leo Oktoba 15,2021.

(Picha ikionesha Mashabiki wa Simba SC (kwenye picha kubwa), Mashabiki wa Azam (Juu kulia) na Kikosi cha timu ya Biashara United Mara)

Barua CAF iliyowasilishwa na TFF kwa Umma navilabu husika:

(Barua ya TFF yenye Ujumbe wa CAF)

Kwa Mujibu wa taarifa ya CAF iliyotolewa na TFF usiku wa jana Oktoba 14, 2021, mchezo wa shirikisho wa mzunguko wa pili hatua ya mtoano kati ya Biashara United Mara na Al Ahly Tripoli utakaochezwa saa 9:00 Alasiri kwenye dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaam utaruhusiwa kuingiza mashabiki 5, 000.

Kwa upande mwingine, Mchezo wa kombe la Shirikisho Afrika wa Azam dhidi ya Pyramids utakaochezwa kwenye dimba la Chamazi saa 9:00 Alasiri utaruhusiwa kuingiza mwatazamaji  2,000 ilhali Simba wameruhusiwa kuingiza mashabiki 15, 000 kwenye mchezo wake wa marudio utakaochezwa Oktoba 24, 2021

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali