Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Lugangira atamani kodi za kidijitali

Wednesday , 20th Oct , 2021

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Neema Lugangira amesema ni wakati sasa wa taifa kupitia Tume ya Tehama kufikiria kuanzisha kodi za kidijitali ikiwa ni sehemu ya hatua kuelekea ujenzi wa taifa na uchumi wa kidijitali.

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Neema Lugangira

Lugangira ameyasema hayo leo Oktoba 20, 2021, wakati akichangia hoja kwenye kongamano la Tehema lililofanyika kwenye ukumbi wa Simba ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC).

''Wanawake kwenye siasa wanapitia changamoto sana mitandaoni, naongea hili mimi kama mbunge ambaye nakumbana na hilo na iko wazi kuna chuki kubwa na ubaguzi nadhani tunatakiwa kuangalia sera ya ICT inasemaje ili kusaidia kundi hili na pengine uwepo wa kodi za kidijitali utasaidia kudhibiti hili,'' ameeleza Neema Lugangira.

Amesisitiza kuwa dunia kwasasa inabadilika hivyo ni vyema kwenda sawa na mataifa mengine duniani yanavyofanya hususani kwenye makampuni makubwa ya Tehema yenye usajili ndani na nje ya nchi zao kama Google na mengine ambayo hulipa kodi kutokana na makubaliano ya usajili wao.

Hata hivyo Mkurugenzi Mkuu wa Tehama Samson Mwela amesema wameuichukua ushauri huo na wataitisha mkutano wa wadau ili kuona jinsi gani watatekeleza.

Samson Mwela (kushoto) Mkurugenzi Mkuu Tume ya TEHAMA

''Tunaompango mkubwa wa kuwasaidia Start ups kwenye TEHEMA lakini pia tutakaa na washirika/wadau mbalimbali nadhani mwezi Novemba, ili kuona jinsi gani wanafikia lengo lakini pia hata haya masuala ya kodi kidijitali tutajadili kwa pamoja,'' ameeleza Samson Mwela, Mkurugenzi Mkuu Tume ya TEHAMA.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava