
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso
Maelekezo hayo amewapa usiku wa kuamkia leo Novemba 18, baada ya kutinga kwenye ofisi za DAWASA kwa lengo la kutoa maelekezo kufuatia tatizo la upatikanaji wa maji na kuitaka mamlaka hiyo kutoa bei elekezi kwa watoa huduma binafsi wa maji kupitia magari (bowsers).