
Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Morogoro Ralph Meela
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Morogoro Ralph Meela, na kusema kwamba waliyemkamata ni mwanachuo mwenzake aliyekuwa akiishi naye.
Imeelezwa kwamba Magreth alipotea Desemba 14 hadi Desemba 18 mwili wake ulipopatikana katika mashamba ya chuo hicho.