Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchumba wa Sabaya atoa ushahidi mahakamani

Monday , 17th Jan , 2022

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake, Jesca Thomas ameieleza mahakama kuwa akiwa hotelini Dar es Salaam na aliyekuwa DC Hai, ambaye ni mchumba wake walivamiwa na kukamatwa na polisi waliokuwa wamevalia nguo za kiraia na silaha.

Jesca Thomas (Mchumba wa Sabaya), na kulia ni aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya

Januari 14, 2022, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha iliwakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa saba, akiwemo Sabaya mwenyewe, katika kesi ya uhujumu uchumi namba 27 inayowakabili, na leo utetezi umeanza.

Lengai ole Sabaya pamoja na wenzake 6 kwenye kesi hiyo ya uhujumu uchumi wanakabiliwa na tuhuma za kuchukua kiasi cha shilingi milioni 90 kutoka kwa mfanyabiashara Francis Mrosso kwa madai kwamba amekwepa kodi.

Shahidi wa kwanza wa utetezi Silivester Nyegu, ambaye pia ni mshtakiwa katika kesi hiyo amekana shtaka hilo na kuieleza mahakama kuwa hakuwahi kushiriki na wala kupata mgao wa pesa hizo na hakuwahi kujihusisha katika genge la uhalifu. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava