Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwamuzi mtanzania kuchezesha AFCON, leo

Tuesday , 18th Jan , 2022

Mwamuzi wa Tanzania Frank Komba ni miongoni mwa waamuzi watakao chezesha mchezo wa kundi C wa michuano ya AFCON mchezo kati ya timu ya taifa ya Gabon dhidi ya Morocco, mchezo unaochezwa leo Saa 4:00 Usiku katika muendelezo wa michuano hii inayoendelea nchini Cameroon.

Frank Komba

Franka Komba kwenye mchezo huu atachezesha kama mwamuzi msaidi namba 2, akimsaidia mwamuzi wa kati  Dahane Beida kutoka Mauritanian mwamuzi msaidizi namba 1 ni Attia Amsaad kutoka Libya na mwamuzi wa akiba (fourth referee) ni Maguette Ndiay kutoka Senegal.

Komba ni mwamuzi pekee kutoka Tanzania aliyeorodheshwa na Shirikisho la soka barani Afrika CAF kuchezesha michuano hii ya mataifa barani Afrika, na kabla ya kuanza kwa michuano hii Komba aliiambia EATV kuwa moja ya ndoto yake kwenye kazi ya uamuzi wa mpira wa miguu ilikuwa ni kuchezesha kwenye michuano hii mikubwa kwa ngazi ya timu za taifa barani Afrika.

Mchezo wanaochezesha usiki wa leo unaowakutanisha vinara wa Kundi C timu ya taifa ya Morocco ambao wana alama 6 na tayari wameshafuzu hatua ya 16 bora, dhidi ya Gabon ambao wapo nafasi ya pili kwenye kundi hilo wakiwa na alama 4 wakihitaji sare kwenye mchezo huo ili kujihakikishia nafasi ya kufuzu hatua inayofaya ya 16 bora.

Mchezo mwingine wa kundi hilo Ghana wenye alama 1 wanaminyana na Comoro ambao hawana alama hata moja na ndio wanaburuza mkia kwenye kundi C.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali