Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfahamu zaidi Dkt. Tulia Ackson mgombea Uspika

Thursday , 20th Jan , 2022

Alizaliwa  Novemba 23, 1976 katika Kata ya Bulyaga, Tukuyu Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya.

Dkt. Tulia Ackson

Dkt. Tulia alisoma elimu yake ya msingi na sekondari mkoani Mbeya na baadaye mwaka 1998-2003 alisoma sheria  Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Mwaka 2005-2007 Dkt. Tulia alifanikiwa kusoma Shahada Ya Uzamivu Huko Cape Town, Afrika Kusini, na  

Baadaye alirudi Dar es Salaam na kuwa mkufunzi wa  Sheria Chuo Kikuu hadi Mwaka 2014 alipoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba.

Mwaka 2015 alikuwa kati ya wabunge 10 walioteuliwa na Rais kuingia bungeni, na baadaye mwansheria huyu alichaguliwa kuwa naibu spika wa bunge la Tanzania mwaka 2015 hadi hii leo.

Baada ya Januari 6,2022, aliyekuwa spika wa bunge Job Ndugai kujiuzulu, chama cha mapinduzi CCM kilitangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa kumtafuta spika mpya, mchakato ulioanza Januari 11- 15, 2022.

Taarifa ziliripoti kuwa watu 71 walijitokeza kuchukua fomu hizi za kuwania kiti cha uspika ikiwa pamoja na Dkt. Tulia Ackson, ambapo huu leo baada ya kamati kuu ya Halmashauri kuu kufanya kikao Jijini Dodoma wamemteua Dkt. Tulia Ackson kama mgombea wao kwenye nafasi hiyo.

Dkt. Tulia Ackson atatakiwa kujiuzulu unaibu spika wa bunge, jambo ambali litafungua lango la kuanza  kwa mchakato wa kumtafuta Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya