Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Auawa wakati akigombana na mke wake 

Thursday , 19th May , 2022

Mchimbaji mdogo wa madini katika Kitongoji cha Namba 2 Mwakitolyo wilaya ya Shinyanga Jackson Joseph, ameuawa kwa kupigwa risasi alipotaka kumnyang'anya bunduki mlinzi wa kampuni ya Right Security aliyekwenda kuamua ugomvi kati ya marehemu na mke wake na ndipo risasi iikamfyatukia tumboni.

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga, George Kyando

Ambapo kufuatia kifo hicho, wananchi waliamua kujichukulia sheria mkononi na kwenda kuvunja ofisi ya kitongoji, nyumba ya Mwenyekiti na kuchoma moto pikipiki ya Kamanda wa sungusungu kwa madai ya kuchoshwa na manyanyaso ya viongozi wao.

Kufuatia tukio hilo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Namba 2  Shaban Zoro, akakanusha madai yaliyotolewa na wananchi, huku Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga Boniface Chambi, akauvunja  uongozi wa Kitongoji cha Namba 2 na Jeshi la jadi sungusungu.

Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga George Kyando,amewataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi na kuharibu mali za umma.

 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP