Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Mifugo na Uvuvi izalishe ajira- Ditopile

Wednesday , 25th May , 2022

Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuja na Mipango kabambe ambayo itaboresha sekta hiyo ili iweze kuzalisha ajira kwa wingi kama ilivyokua miaka ya nyuma.

Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile

Ditopile ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi leo Bungeni jijini Dodoma.

"Mwaka 2014/15 Tanzania tulia tunatoa tani zaidi ya 45,000 ya minofu ya Sangara na mazao yake,lakini mwaka 2021 tumetoa tani 41,000 tu, Niwe mkweli hali ya Sangara katika Ziwa Viktoria imekua mbaya Sana sijui kama Waziri hili jambo mmeliona na kulitafutia ufumbuzi.

Ukienda kuwahoji wanachinga wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa wengi walikua waajiriwa katika Viwanda vinavyochakata mazao ya Uvuvi, Viwanda hivyo kwa sasa vimepunguza uzalishaji tukumbuke mapato yaliyokua yanapatikana kupitia Sangara yaliyokua yanaleta maendeleo nchini," Amesema Ditopile.

Amemtaka Waziri wa Uvuvi Mashimba Ndaki kuja na majibu ya msingi yanayoonesha namna gani kama Wizara wamejipanga kuhakikisha wananyanyua sekta ya Uvuvi nchini ili kuweza kuipatia Nchi mapato makubwa lakini pia kusaidia kupunguza changamoto ya ajira kupitia Uvuvi.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya