Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaombwa kuingilia kati bei ya Samaki

Friday , 3rd Jun , 2022

Chama cha wavuvi nchini TAFU kimeiomba serikali kuingilia kati mabadiliko ya bei za uuzaji wa samaki viwandani zilizoporomoka kutoka elfu kumi na moja hadi kufikia elfu saba kwa kilo moja.

Mwenyekiti wa Chama cha wavuvi TAFU Bakari Kadabi

Mwenyekiti wa Chama cha wavuvi TAFU Bakari Kadabi ametoa ombi hilo jijini Mwanza na kusema kuwa kuporomoka kwa bei hiyo kunaweza kusababisha ongezeko la uvuvi haramu kutokana na wavuvi wengi kupata hasara kubwa.

‘Bei za Samaki zimeshuka sana kupita kiasi, kiasi kwamba wavuvi wetu wanapata hasara kubwa sana ukilinganisha bei za mafuta nazo zipo juu uendeshaji upo juu na bei zimeshuka viwandani kwahiyo ni hasara kwa wavuvi wetu"

"Matatizo ya wafanyabishara wa Samaki ndani ya viwanda yamekuwa yakishughulikiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi tunaona ipo haja kwa Wizara ya viwanda na biashara kuhusika kwenye hilo" - ameeleza Kadabi

Katika hatua nyingine Kadabi amesema sasa ni muda muafaka kwa Wizara kuunda bodi ya pamoja itakayosaidia kufuatilia bei katika masoko makubwa ya kimataifa ili kupata bei elekezi.
Changamoto ya kupanda kwa bei katika viwanda vya samaki imetokea ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kuanzia mwezi wa tano.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali