
Kiboko
Chongolo ametoa maelekezo hayo hii leo Juni 3, 2022, alipowasili kwenye Kijiji cha Nassa wilaya ya Busega mkoani Simiyu kwa ziara yake ya kichama.
"Lakini ninyi wananchi msianze kuwavuna viboko bila kibali, siku mkiwavuna mniambie na mimi babu yenu nije kuonja nyama yake, nasikia wana nyama tamu sana, siyo," amesema Chongolo