Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rotary Club walivyoguswa na Namthamini

Tuesday , 7th Jun , 2022

Kupitia kipindi cha Mama Mia, Rais wa Rotary Club of Dar es Salaam, Aisha Sykes ameelezea namna walivyoguswa na kampeni ya Namthamini na kuamua kujitolea taulo za kike kwa ajili ya kuhakikisha mtoto wa kike anaendelea na masomo yake pale anapokuwa kwenye siku zake za hedhi.

Rais wa Rotary Club of Dar es Salaam, Aisha Sykes.

"Tumeguswa kwa sababu sisi Rotary kazi zetu ni za kujitolea, tukiangalia wapi kwenye jamii kuna changamoto. Nilivyoisikia hii kampeni ya Namthamini nikasema East Africa Radio mmekuwa mnatupa support Rotary miaka yote, leo na nyinyi mna kampeni ambayo imetugusa sisi, tuliona ni muhimu kwa ajili ya kuwaunga mkono kuwasaidia watoto wa kike waondokane na changamoto" - Aisha Sykes.

Rotary Club wapo pamoja na kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2022 tangu ilipozinduliwa Mei 27 mwaka huu katika shule ya sekondari Kidete, Kigamboni.

Kampeni ya Namthamini Wilaya ya Kigamboni ilihusisha shule mbili za Sekondari Kidete na Kibugumo. Jumla ya Pakiti 3572 za taulo za kike ziligawanywa kwa shule hizo mbili, kila shule ilipata pakiti 1786.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava