Wednesday , 15th Jun , 2022

Staa wa mziki Bongo Alikiba amemtambia Mbwana Samatta kwa kumtaka ampange msanii Harmonize kwenye timu yake ili ampite akafunge kwenye mchezo wa Team Kiba na Team Samatta siku ya June 18 uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.

Picha ya msanii Alikiba na Harmonize

Alikiba amesema hivyo akimjibu Samatta baada ya Harmonize kuweka nia ya kushiriki mchezo huo akitaka kucheza timu tofauti na Kiba ili kumzuia asifunge.

Zaidi tazama hapa kwenye video.