
Picha ya msanii Shilole
Shilole anasema kuwe na mipaka kwa mke na mume wa mtu kwa sababu hata yeye hana mazoea na wanaume za watu.
Zaidi mtazame Shilole akizungumzia hilo hapa chini.
Msanii Zuwena Mohammed Shilole hataki masihara kabisa na mume wake Rommy, ametangaza kumshushia mwanamke yeyote kichapo atakayeleta mazoea na mwanaume wake huyo.
Picha ya msanii Shilole
Shilole anasema kuwe na mipaka kwa mke na mume wa mtu kwa sababu hata yeye hana mazoea na wanaume za watu.
Zaidi mtazame Shilole akizungumzia hilo hapa chini.