Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtumishi wa TANESCO afia guest Katavi

Friday , 1st Jul , 2022

Mtumishi wa Shirika la Umeme (TANESCO) anayefahamika kwa jina la Yahaya Abdul, mkazi wa Manispaa ya Mpanda mkoa wa katavi, amekutwa amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni alikoenda kujipumzisha na rafiki yake wa kike.

Mtumishi wa TANESCO Katavi, Yahaya Abdul, aliyefia gesti

Tukio hilo limetokea mtaa wa Ikulu, Kata ya Kawajense, Mjumbe wa serikali ya mtaa huo George Kadesi, amesema baada ya kuona umati wa watu ukiwa umezungunguka gesti hiyo na alipofika alielezwa kuwa marehemu aliingia kwenye nyumba hiyo akiwa na rafiki yake wa kike.

Kwa upande wake mhudumu wa nyumba ya kulala wageni ameeleza kuwa marehemu alifika majira ya saa 7:00 mchana na mpenzi wake lakini ameshangazwa kuona pikipiki ya mtu huyo mpaka asubuhi ikiwa pale gesti.

Kwa upande wake afisa uhusiano wa Hospitali ya Rufaa mkoa wa Katavi Emmanuel Tinda, amekiri kupokelewa kwa mwili wa mtu ambaye jina lake halijafahamika na uchunguzi wa kitabibu ili kubaini kifo chake unaendelea.

Aidha mwanamke huyo ambaye alikuwa naye gesti anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo.
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP