Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Daktari mfano wa kuigwa katika jamii

Monday , 4th Jul , 2022

Hedhi salama bado changamoto kwa shule za msingi na sekondari nchini, kwa kutambua hilo Dkt Ibrahimu Ibrahimu wa Hospital ya Sekou Toure, Mwanza leo Julai 3 alifika katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio na kutoa mchango wa taulo za kike pakiti 64.

Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.

Hii ni mara ya pili kwa Dkt Ibrahimu kuchangia kampeni ya Namthamini kwa mwaka huu, Juni 27 Dkt Ibrahimu alifika katika ofisi zetu na kutoa mchango wa taulo za kike pakiti 16.

 

Pia siku ya leo tulipokea mchango taulo za kike pakiti 12 kutoka kwa Abdallah Ngoma ambaye ni msikilizaji mkubwa wa vipindi vya East Africa Radio.

Fahamu kwamba mchango wa Tsh 5,000 utamsaidia mtoto wa kike kupata taulo za kike akiwa shuleni kwa mwezi mzima. Unaweza kuleta mchango wako katika ofisi zetu zilizopo Mikocheni Viwandani. Pia unaweza kutuma mchango kwenye namba yetu ya ofisi 0787633313 yenye jina la East Africa Television.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava