Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Dodoma kutoa matibabu bure

Wednesday , 6th Jul , 2022

Watu zaidi ya elfu 3 wanategemea kupimwa na kupatiwa matibabu katika hospitali ya Jeshi hilo iliyopo mkoani Dodoma kwa kipindi cha siku 3 mfululizo bure ,ikiwa ni vita dhidi ya magonjwa ya kuambukiza na yale yasiyo ya kuambukiza

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi Martin Otieno

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi Martin Otieno amesema ameyabainisha hayo leo Jijini Dodoma mara baada yakukutana na wataalamu wa afya za kibingwa kutoka Hospitali ya Jeshi na wafanyakazi.

Amesema watatoa huduma zote za upimaji bure kwa muda wa siku 3 kuanzia tarehe 29,30 na 31 kwa mwezi wa 7 katika kituo cha Afya Polisi Dodoma, kwakua ni sehemu yakurudisha huduma kwa jamii kama inavyoelekezwa na Serikali ili kuokoa maisha ya watu na kuokoa fedha kwani baadhi ya magonjwa hutumia gharama kubwa kuyatibu ikiwa ni pamoja na magonjwa ya figo, afya ya akili, chanjo ya Uviko 19, utoaji wa damu salama,magonjwa mbalimbali ya binadamu  na wataalamu wa mambo yakijinsia watatoa huduma hiyo.

Huduma zote zitatolewa na wataalamu wa magonjwa ya kibingwa kutoka Hospitali kubwa za Serikali wakiongozwa na mabingwa kutoka Hospitali ya Benjamini Mkapa.
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP