
Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa
Waziri Bashungwa ametoa maagizo hayo mara baada ya diwani wa Kata ya Matui, kumuomba afuatilie kwa undani kuhusu fedha hizo za serikali zilizotolewa kwa ajili ya ujenzi wa shule.
Mbali na hayo, Waziri Bashungwa ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Manyara ifikapo Januari 2023, kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu Kata hiyo wawe wamesajiliwa na kuendelea na masomo.