Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana laki tatu wanakosa ajira kila mwaka

Friday , 12th Aug , 2022

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya vijana duniani imeelezwa kuwa zaidi ya vijana laki nane wanaoingia mtaani kila mwaka wamekuwa wakikosa ajira huku changanoto ikiwa ni vijana kukosa elimu ya kujitegemea pamoja na changanoto nyingine katika masuala ya uongozi pamoja na ukatili

Kaimu Mkurugenzi  wa Chemba ya Kilimo na Biashara (TCCIA) Nerbat Mapwele

Akizungumza  leo katika jukwaa la vijana wa Afrika Mashariki  Kaimu Mkurugenzi  wa Chemba ya Kilimo na Biashara (TCCIA) Nerbat Mapwele amesema bado vijana wa Afrika Mashariki wana kabiliwa na changanoto nyingi ikiwemo katika ajira, ukatili wa kingonon kupitia  mitandao ambao umekuwa ukiathiri vikubwa makundi ya vijana na kushindwa kufikia malengo yao.

Kwa upande wake Balozi wa vijana Afrika mashariki Jescca  Mshama amesema katika jukwaa hilo vijana wamekutana na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo changamoto katika uongozi, ajira na masuaka ya ukatili wa kijinsia
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya