
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel
Akizungumza hii leo Agosti 30, 2022, wakati akifungua ķongamano la vifaa tiba na dawa kwa nchi za Afrika Mashariki, Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, amesema serikali kwa sasa itakuwa ikinunua dawa moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji baada ya watu wa kati kuwa na mtindo wa kupandisha bei za vifaa tiba na dawa hali inayoongeza gharama kubwa na mzigo kwa wananchi.