
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Ester Mahawe
Hayo ameyasema baada ya kubainika kuwa baadhi ya wasomi na watu wenye taaluma mbalimbali mkoani Kigoma kutoitumikia jamii kupitia elimu zao na kutajwa kuwa ndiyo sababu inayochangia kuendelea kuwepo kwa umaskini katika jamii hiyo.
Wakizungumza na Kurasa baadhi ya wakazi wa Halmshauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamesema hali hiyo ni kutokana na baadhi yao kukosa uzalendo hali inayowapelekea kufanya kazi kwa maslahi yao binafsi.