Mdalali wa Kata ya Iwungilo
Madalali hao ni wanunuzi wa mazao mbalimbali katika eneo hilo na kwamba kila mmoja ametoa mchango wa shilingi laki moja.
Kwa kutambua umuhimu wa kituo hicho imeelezwa kwamba, Halmashauri ya Mji Njombe tayari imetenga kiasi cha shilingi milioni 250 ili kuongeza nguvu ya kukamilika kwa ujenzi huo.