Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri wa zamani Zambia mbaroni

Thursday , 6th Oct , 2022

Mamlaka nchini Zambia zimemfungulia mashtaka waziri wa zamani wa afya nchini humo kwa makosa ya rushwa. 

 Bw.Chitalu Chilufya anatuhumiwa kwa ubadhirifu wa fedha za uma kiasi cha dola za kimarekani milioni 17 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 3 za Kitanzania , ambazo zilikua ni za kusambaza vifaa vya afya wakati alipokua bosi wa wizara hiyo.

Taasisi ya kupambana na rushwa nchini Zambia imesema Waziri huyo wa zamani anashtakiwa akiwa na katibu mkuu wa zamani wa wizara hiyo   Mulalelo Kakulubelwa pamoja na wakurugenzi wengine watatu wa afya. 

Wote wamekana mashataka hayo na wameachiwa kwa dhamana. Wanakua ni miongoni mwa watu mashuhuri kutiwa nani siku ya jana kwa tuhuma kadhaa. 

Mwanachama wa upinzani Kelvin Bwalya Fube yeye ametiwa ndani kwa makosa ya dawa za kulevya ikiwemo pia utakatishaji w afedha haramu. 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya