Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya afya yaombwa kuangalia huduma kwa watoto

Thursday , 6th Oct , 2022

Wizara ya Afya imeombwa kuangalia upya swala la utoaji huduma za afya bure kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano hasa wale wanaolelewa katika vituo vya watoto yatima na waliopo kwenye makundi maalumu

Hii ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza ikiwemo kutokupatikana na kwa baadhi ya huduma za afya kwa watoto hao hivyo vituo hivyo kulazimika kulipia gharama za matibabu kwa watoto hao.

Ombi hilo liimetolewa na mkuu wa kituo cha watoto yatima cha Mgolole sista Maria Anitha wakati wa hafla ya kusherekea sikukuu ya Mt Vicent Wa Paulo ambapo amesema licha ya serikali kutangaza uoaji wa huduma ya afya bure kwa watoto chini ya miaka mitano katika hospitali za serikali bado hali imekuwa tofauti kwasababu baadhi ya huduma hazipatikani na kulazimika kutoa gharama katika kuwahudumia watoto hao

Akizungumza kwenye hafla hiyo Mtendaji mkuu wa wakala wa mbegu za kilimo nchini ASA Dkt Sophia Kashenge amesema kufuatia ongezeko la idadi ya watoto wenye uhitaji maalum linalosababishwa na vifo vya wazazi kanisa katoliki kuangalia namna bora ya kuanzisha vituo vya kusaidia watu wazima wanaokabiliwa na changamoto hiyo

Aidha katika maadhimisho hayo wakala wa mbegu ASA imetoa msaada wa maguni kumi ya mpunga yenye shilingi milioni moja pamoja na mafuta ya alizeti lita arobaini.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya