Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ushuru wa bidhaa za Tanzania kuondolewa Uingereza

Tuesday , 29th Nov , 2022

Mwanzoni mwa Mwaka 2023  serikali ya Uingereza imetangaza ku-wa na mpango maalum kwa kuondoa ushuru kwenye bidhaa zinazotoka Tanzania ili kuongeza ushindani kwa masoko ya bidhaa hizo nchini Uingereza.

Balozi wa Uingereza Tanzania Bwana David Concar pamoja na Mwakilishi maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye masuala ya Biashara Tanzania Lord Walney.

Hayo yamebainishwa katika Kongamano la pili kati ya Tanzania na Uingereza wenye lengo la kuwaleta pamoja wafanyabiashara na wawekezaji wa Tanzania na Uingereza.

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji Ally gugu ameongeza kuwa pia wataweka vigezo rahisi ambavyo vitakuwa sio changamoto kwa wafanyabiashara wa Tanzania kupeleka bidhaa zao Uingereza.

Kwa upande wa Uingereza, Bwana David Concar ambaye ni Balozi wa Uingereza Tanzania, ameahidi kuwa wataendelea kuongeza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili, hasa kwenye masuala ya biashara na uwekezaji huku Mwakilishi maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye masuala ya Biashara Tanzania Lord Walney akibaibisha kuwa wataendelea kushirikiana na nchi zinazoendelea katika kukuza uchumi.

Katika kongamano la mwaka jana makampuni zaidi ya 10 kutoka Uingereza, na mwaka huu wagenu kutoka Uingereza zaidi ya 30 wamehudhuria mkutano huo.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali