Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyama Vingunguti yashuka bei wenye mabucha wahaha

Tuesday , 6th Dec , 2022

Wafanyabiashara wa nyama kwenye mabucha yaliyopo Vingunguti jijini Dar es Salaam, wanalazimika kuuza kilo moja ya nyama kwa 6000 kutoka 8000 kutokana na kukosekana kwa wateja huku wakieleza kwamba changamoto ya ukosefu wa majokofu ya kuhifadhia nyama kunachangia kuuza kwa bei ya hasara.

Nyama

Wakizungumza leo Desemba 06, 2022, na East Africa TV wafanyabiashara hao wamesema kuna haja ya soko la nyama kuongezewa thamani kwa kuuzwa kwenye nchi nyingi tofauti na sasa kwani Tanzania imekuwa na idadi kubwa ya Ng'ombe lakini soko limekuwa dogo 

Wamesema licha ya kuboreshewa bucha za kufanya biashara hiyo tofauti na awali lakini hali ya kibiashara kwao imekuwa ngumu

Kwa upande wake daktari wa nyama kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, anayesimamia eneo la bucha za nyama Vingunguti, Dkt David Gabriel, amesema hawaruhusu kuingizwa Kwa nyama ya Ng'ombe kuingizwa kwenye bucha hizo bila ya kuwa na muhuri maalum wa serikali unaoelekeza kama nyama husika imekaguliwa na ni salama kwa mlaji

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava