Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wadau wa haki za binadamu wakutana

Wednesday , 7th Dec , 2022

Serikali kupitia tume ya haki za binadamu na utawala bora imeyataka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayojihusisha na utetezi wa haki za binadamu kufuata sheria kanuni na taratibu ambazo nchi imejiwekea ili kulinda utu na utamaduni wa mtanzania.

Onesmo Ole Ngurumwa mratibu wa kitaifa THRDC

Kauli hiyo imetolewa na katibu mtendaji Patience Ntwina ambaye amesema kumekuwepo na mashirika mengi ambayo mengine kwa makusudi kabisa yanavunja na kukiuka sheria za nchi kwa masilahi ya wafadhili wao ivyo kuwataka sasa viongozi katika mashirika kutazama upya mitazamo na mienendo yao hasa katika kipindi hiki.

Kwa upande wake mwenyekiti wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali la taifa Lilian Badi amezitaka NGOS kushiriki ajenda za kiserikali huku akizitaka kuzingatia usajili wao sio kudandia na kutangatanga na ajenda kila ajenda mitandaoni.

Kuelekea kilele cha kupinga ukatili wa kijisinsi watetezi wa haki za binadamu kutoka mikoa yote ikiratibiwa na mtandao wa kutetea haki za binadamu Tanzania THRDC na wenzao wa Uganda kwa ujumla wamekutana kujadili mazingira ya kiutendaji katika nchi zao na namna wanavyoshiriki kutatua changamoto za utetezi kwenye nchi husika.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava