Rais huyo alitangaza kutaka kulivunja bunge la nchi hiyo baada ya bunge kuanza mchakato wa kupiga kura za kumuondoa Rais huyo kwa kile wanachodai kuwa sio muadilifu kazini
Katika zoezi la kura wabunge 101 walipiga kura za ndio. na hapana 6 huku kura 10 zikiharibika