Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana nchini watakiwa kuilinda amani iliyopo

Friday , 9th Dec , 2022

Vijana nchini wameshauriwa kufahamu kwamba viongozi waasisi wa Taifa la Tanzania walifanya kazi kubwa ya kuhakikisha Uhuru unapatikana hivyo  na wao wanao wajibu wa kuitunza na kuilinda amani iliyopo ili isitoweke

Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Elihuruma Mabelya,

Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Elihuruma Mabelya, wakati wa mdahalo wa miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika uliofanyika katika chuo kikuu kushiriki cha elimu Dar es Salaam (DUCE).

Kwa upande wao wahadhiri wa chuo hicho wameeleza miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika kwa jinsi ulivyofanikisha kukuza kiwango cha elimu hapa nchini na kuongeza idadi kubwa ya watalaam wa fani mbalimbali ambao wameisaidia serikali kuokoa fedha nyingi za kwenda kuwatafuta watalaam hao nje ya nchi.

Nae Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Amani wilaya ya Temeke Mchungaji Andrew Mtweve, amesema miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika imekuwa na uhuru mkubwa wa kuabudu kwa viongozi wa dini zote kukaa pamoja na kuzungumza huku makundi ya watu wenye ulemavu yakieleza kwamba bado  makundi hayo yamekuwa yakiachwa  nyuma kwenye masuala ya kiuwakilishi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali