Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba SC yakusanya billioni 13

Friday , 20th Jan , 2023

Mwenyekiti wa klabu ya Simba anayemaliza muda wake, Murtaza Mangungu amejinasibu kuwa, katika kipindi chake cha miaka miwili ya Uongozi Simba imeongeza mapato na kufikia bilioni 13 kutokana na usimamizi makini katika rasilimali za timu hiyo.

Mangungu ambaye pia anagombea kutetea nafasi yake ya mwenyekiti, amesema endapo atapewa dhamana ya kuendelea kuiongoza Simba SC basi atasimamia malengo makuu ya klabu na kila moja na hata ikitokea atakosa basi ataendelea kusalia kuwa Mwanasimba.

"Mipango ya Bodi ni kuifanya Simba kuwa klabu kubwa Afrika, tunataka kujenga miundo mbinu. nimekuwa tayari na nipo tayari kushirikiana na Mwanasimba yoyote kwa ajili ya maendeleo ya Simba. Naombeni kura zenu.

"Mapato ya klabu yameongezeka wakati naingia tulikuwa tunakusanya bilioni nne kwa mwaka lakini sasahivi tunaingiza bilioni 13. Wengi wanaonipinga ni maslahi binafsi yao binafsi," amesema Mangungu

Mwenyekiti Mangungu ambaye Ijumaa ya leo Januari 20, 2023 amezindua kampeni yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa timu hiyo unaotaraji ufanuka Januari 29 mwaka huu, pia ametumia nafasi hiyo

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro