Polisi wanasema Waathiriwa waliuawa katika maeneo kadhaa, ikiwa ni pamoja na duka na nyumba mbili, huko Arkabutla, ambapo kuna jamii ya watu wasiozidi 300.
Polisi wamemfungulia mashtaka mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 52 kwa mauaji ya kiwango cha juu na anashikiliwa katika gereza la kaunti hiyo.Hakuna sababu ya shambulio lake hadi sasa



