Saturday , 18th Feb , 2023

Mwanamume mmoja aliyekuwa na bunduki tatu amempiga risasi mke wake wa zamani na watu  wengine watano wakati wa ghasia katika mji mdogo wa vijijini katika jimbo la Mississippi nchini Marekani,

 

Polisi wanasema Waathiriwa waliuawa katika maeneo kadhaa, ikiwa ni pamoja na duka na nyumba mbili, huko Arkabutla, ambapo kuna jamii ya watu wasiozidi 300.

  Polisi wamemfungulia mashtaka mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 52 kwa mauaji ya kiwango cha juu na anashikiliwa katika gereza la kaunti hiyo.Hakuna sababu ya shambulio lake hadi sasa