Mwalimu Monica Patrick, enzi za uhai wake
Imeelezwa marehemu alifika mkoani mara kwa madai ya kumfanyiwa maombi ya kumsaidia katika biashara yake ya madini.
Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoani humo amesema kuwa baada ya watuhumiwa hao kufanya mauaji hayo walitumia simu ya marehemu kuwasiliana na Dada wa marehemu na moja ya wafanyakazi wenzie.
Kamanda Tibishibwamu amesema kuwa walipo wafanyia mahojiano watuhumiwa hao imeonekana wamekuwa wakifanya mauaji hayo kwa muda mrefu na mpaka sasa wameisha fanya mauaji kwa zaidi ya watu 20.





.jpg?itok=5cvL0YaP)