Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ghana yapata kigugumizi sheria ya kupinga ushoga

Tuesday , 28th Mar , 2023

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo jumatatu alisema mswada wa kupinga ushoga unaojadiliwa bungeni umebadilishwa kufuatia serikali yake kuingilia kati.

Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris, Bw Akufo-Addo alisema mswada huo sio sera rasmi ya serikali bali umewekwa na wanachama wachache wa kibinafsi.

Alisema mwanasheria mkuu aliwasilisha maoni kwa kamati ya bunge kuhusu "katiba au vinginevyo vya vifungu vyake kadhaa".

"Uelewa wangu... ni kwamba vipengele vikubwa vya muswada huo tayari vimebadilishwa kutokana na kuingilia kati kwa mwanasheria mkuu," alisema bila kutoa maelezo zaidi.

Rais Akufo-Addo alikataa kusema atafanya nini ikiwa mswada huo utapitishwa  na alitumai bunge litazingatia unyeti wa kipengele cha haki za binadamu.

Mapenzi ya jinsia moja tayari yanaadhibiwa kwa kifungo cha hadi miaka mitatu jela nchini Ghana, ambako mitazamo ya ushoga imeenea, lakini rasimu ya sheria hiyo itatoa adhabu ya kifungo cha muda mrefu.

Bw Akufo-Addo awali alizungumzia ndoa za jinsia moja, akisema kamwe haitahalalishwa wakati wa utawala wake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava